iqna

IQNA

joe biden
Jinai za Israel
WASHINGTON, DC (IQNA) - Viongozi wa Kiislamu kutoka majimbo kadhaa ya yanayoamua matokeo ya uchaguzi Marekani, yaani Swing States, wametangaza kuondoa uungaji mkono wao kwa Rais Joe Biden, kwa sababu ya kushindwa kwake kutoa wito wa kusitishwa kwa mapigano huko Gaza.
Habari ID: 3477981    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/03

Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA)-Jaji wa kwanza Mwislamu mwenye kuvaa Hijabu katika historia ya Marekani, ambaye alianza kazi yake miezi miwili iliyopita katika hafla ya kiapo kwa Qur'ani Tukufu, anasema kwamba ana nia ya kutetea haki za Waislamu wa Marekani.
Habari ID: 3475697    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/29

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mamia ya Wapalestina wamefanya maandamano katika eneo la kaskazini la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kupaza sauti zao za kupinga ziara ya Rais Joe Biden wa Marekani katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu yaliyopachikwa jina la Israe katika safari yake ya kwanza ya Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) kama rais wa Marekani.
Habari ID: 3475504    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/15

Uchaguzi wa rais Marekani 2020
TEHRAN (IQNA) – Mgombea kiti cha urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democratic, Joe Biden amesema atawateua Waislamu nchini humo katika ngazi zote za kijamii na kisiasa za serikali yake endapo atashinda katika uchaguzi.
Habari ID: 3473269    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/17